Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani Dodoma, tarehe 25 Februari, 2026.