DC Magoti atangaza kukamata matapeli wa ardhi Kisawarawe
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, ametangaza msako mkali kwa walanguzi wa ardhi na viongozi wa kijiji waliouza mashamba zaidi ya heka 300, ambapo heka moja waliuza sh. 100,000.
"Naenda kuweka kijiji kizima 'rock up', Nitakamata mpaka mtu aliyeshuhudia ambaye hakutoa taarifa, mnunuzi mmoja aliyeshiriki kununua aliniandikia ujumbe usiku nikampa sh. 120,000," mesema.
Ameeleza adhabu yao ya kununua maeneo bila utaratibu maalumu ni kuwakamata na kupewa adhabu ya kulima na siyo kuwekwa rumande.
DC Magoti atangaza kukamata matapeli wa ardhi Kisawarawe
Reviewed by Gude Media
on
8:41:00 AM
Rating:
Reviewed by Gude Media
on
8:41:00 AM
Rating:



No comments
Note: Only a member of this blog may post a comment.