Uchaguzi CWT hadharani

Na Mwandishi wetu,

Chama cha walimu Tanzania (CWT) kimetangaza kufanyika kwa mkutano mkuu wa chama hicho tarehe 28 na 29 mwezi mei mwaka huu mkutano ambao pamoja na mambo mengine utahusisha uchaguzi wa viongozi wa kitaifa 

Taarifa kutoka ofisi ya katibu mkuu wa chama hicho mwalimu Joseph misalaba ambaye kwa sasa anakaimu nafasi hiyo imeeleza kuwa mkutano huo wa saba unafanyika baada ya chama hicho kukamilisha chaguzi za ngazi za chini ambazo ni ngazi ya shule, ngazi ya wilaya na mkoa ambapo hivi sasa wanaelekea kwenye ngazi ya Taifa.

Taarifa hiyo iliyosasainiwa na Afisa habari na mahusiano wa chama hicho inazitaja nafasi zinazotarajia kugombewa kuwa ni rais wa chama, makamu wa rais wa chama, katibu mkuu, naibu katibu mkuu na mweka hazina wa chama hicho

Nafasi nyingine ni mwakilishi wa walimu wanawake, mwakilishi walimu walemavu, mwakilishi walimu vijana na wadhamini wa chama.

WAGOMBEA NAFASI YA RAIS CWT

1. BARUA A MWALIMU - TANGA

2. CHAKUPEWA SANI JOHN - DODOMA

3. IKOMBA MATHEW SULEIMAN - TEMEKE

4. JULIUS HAMZA SHANGWELI - ARUSHA

5. KASIMBA ERNEST ROBERT - KIGOMA

6. KONDOWE L. EMMANUEL - MALINYI

7. MAHENGA HASSANI HAMISI - KILOSA

8. MALINGA HAMIS ALLY - SONGWE

9. MLOBI EMMANUEL STEPHEN - MAFIA

10. MUDUI JEREMIAH CHARLES - NGARA

11. MUNYIMBEGU KHAMACK RAJABU - CHAMWINO

12. MUSSA KALELANDA ISMAILI - DODOMA JIJI

13. MUTUNGI HAMZA NGAMERA - KAHAMA

14. NDOMBA SEBASTIAN JAMES - DODOMA

15. NDONYALO FLORIAN GODHARD - RUNGWE

16. NYATEGA KOMOYA ROSE - ILEMELA

17. TWAMBO DAVID TUMAINI - KALIUA

18. ULAYA L. LEAH - TABORA MANISPAA

WAGOMBEA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS CWT

1. BAKUZA DAVID DENNIS - BABATI

2. BANDA MRATI JUMA - ILALA

3. GABRIEL NYANGA PETRO - UBUNGO

4. KAJUNI ENOCK NELUSIGWE - MBEYA

5. KANJI ABDALA HASSAN - KIBAHA

6. KINGWALA A. TATU - KIBAHA

7. LIPUKILA MBENA SABINA TUNDURU

8. MAHEWA PHILIPO LAMECK - KWIMBA

9. MALINGISHI BUJILIMA SELEMAN - GEITA

10. MOHAMED RUMANYIKA MSWADIKU - KIBITI

11. MSHANA ABBAS AZIZA - MOSHI DC

12. MTEMBO YUSUFU BAKARI - DODOMA JIJI

13. MTUNDUA S. HAMISI - SINGIDA

14. MWABUNGULU AMBINDWILE SHABAN - NJOMBE

15. PANDISHA KAROLO ROBERT - RUNGWE

16. SANE SETH LAZARO - MONDULI

17. TARIMO VICTORY JAMES - MULEBA

18. TUNG’OMBE JOHN - SUMBAWANGA

19. YAHEWA S. JOEL - LINDI MC

 WAGOMBEA NAFASI YA KATIBU MKUU CWT

1 BENJAMIN RUTALEMWA JESTON - MVOMERO

2. BUKURU JACKSON ABIHUDI - KASULU

3. KEHA EDWIN SIMON - DODOMA

4. MISALABA MASOLWA JOSEPH - DODOMA JIJI

 WAGOMBEA NAFASI YA NAIBU KATIBU MKUU - CWT

1. ALEXANDER KUSAGA ALFRED - CWT HQ

2. HAMISI MUSSA YUSUPH - KILWA

3. KAMWELA DAUD ABRAHAM - (M) -DSM

4. KIYOLA EDWARD MAHANYA - CWT HQ

5. MAGADULLA ADAM WILSON - KAHAMA

6. MAGESA PROTAS MAGESA - BUHIGWE 

7. MAHELELA ELIAB AIDAM - NANYUMBU 

8. MNYANYI EGIDY FELIX - NJOMBE

9. MSANGA ZEPHANIA AMANI - NGARA

10. NGASA LILIAN NYANGETA - BUTIAMA

11. NGONYANI YUSUFU LUYA - RUKWA

12. NYAKORE OMORO YOHANA - MWANZA

13. PETER KASASE AUGUSTINE -  NYAMAGANA

14. PROSPER MWEMEZI ADRIAN - MEATU

15. RWIZA FREDNAND GODFREY - SERENGETI















Uchaguzi CWT hadharani Uchaguzi CWT hadharani Reviewed by Gude Media on 9:24:00 AM Rating: 5

No comments

Note: Only a member of this blog may post a comment.