Dk. Mwigulu akutana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania


Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.



Dk. Mwigulu akutana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dk. Mwigulu akutana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Reviewed by Gude Media on 3:33:00 AM Rating: 5

No comments

Note: Only a member of this blog may post a comment.