Rais Dk. Samia akutana na Rais wa TLS Mwabukusi Ikulu Dodoma
12:01:00 PM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27 Agosti, 2025.
Social Plugin