Angalia mabondia walivyozichapa katika usiku wa Boxing Day
![]() |
| Bondia Hassan Mwakinyo, akitangazwa mshindi baada ya kumchapa bondia Stanley Eribo, kutoka nchini Nigeria, kwa Knock Out (KO), raundi ya pili, Warehouse, Masaki. |
![]() |
| Bondia Debora Mwenda, akitangazwa mshindi baada ya kumtandika bondia Mariam Dick kutoka Malawi katika pambano la ubingwa wa mkanda PST. |
![]() |
| Mwamuzi akiwatangaza mabondia Leila Macho (kushoto) na Hidaya Zahoro, kuwa pambano lao ni droo. |
![]() |
| Bondia Ally Mzome (kushoto), akisukuma konde kwa mpinzani wake Osana Arabi, ambapo Mzome aliibuka mshindi kwa points. |
![]() |
| Bondia Hassan Ndonga (kushoto), akisukuma konde kwa mpinzani wake Ismail Boyka, ambapo Ndonga aliibuka mshindi kwa points |
![]() |
| Mabondia Ramadhan Mkwakwate (kushoto) na Reagan Pacho, wakitafutana ulingoni katika pambano la kuwania mkanda wa PST, ambapo Mkwakwate aliibuka kuwa bingwa wa mkanda. |
![]() |
| Bondia Ramadhan Mkwakwate, baada kutangazwa kuwa bingwa wa mkanda wa PST |
![]() |
| Bondia Hamad Furahisha (kushoto), akipambana na bondia kutola Malawi, Hanock Phili, ambapo Furahisha, alishinda. |
![]() |
| Mshabiki wa ngumi wakishangilia mabondia wakizochapa ulingoni. |
Angalia mabondia walivyozichapa katika usiku wa Boxing Day
Reviewed by Gude Media
on
December 27, 2025
Rating:
Reviewed by Gude Media
on
December 27, 2025
Rating:















